Wanafunzi wa shule ya msingi Jitegemee Manispaa ya Iringa wakiwa wamesima karibu na mzoga wa mbwa na ukuuchezea katika mtaa wa Beira eneo la kijiweni leo bila kujali afya zao. Mbwa huyo alitupwa jalalani karibu na nyumba ya mwenyekiti wa mtaa wa beira bila kuzikwa ambapo kiafya ni hatari kama walivyokutwa watoto wadogo hao wakiacha masomo na kwenda kuchezea mzoga huo, noma sana! (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Thursday, 20 November 2014
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...








.jpg)