Friday, 30 January 2015

PCT Mafinga kusambaza mbegu kwa wakulima wa Pareto


Mkurugenzi  PCT Mafinga Mr. Martine Oweka

                                                      Shamba la Pareto....




Na Tumaini Msowoya Kibiki, Mufindi


KIWANDA cha Pareto (PCT), cha Mafinga wilayani Mufindi kimetumia zaidi ya shilingi milioni 350, kwa ajili ya kuwasaidia wakulima mbegu na miche ya zao hilo, ili kukuza na kuinua zao hilo.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...