Kaimu Mganga Mkuu (W) Halmashauri
ya Wilaya Songea, Dr. Stephen Mhando akizungumza
na wanasemina wakati akifungua Kikao cha Mkoa cha Kutathmini na Kuratibu
shughuli za magonjwa yasiopewa kipaumbele
(Neglected Tropical Diseases) cha siku tatu mkoani Ruvuma 2010-2011,
kilichofanyika Peramiho LEO. Kushoto kwake ni Mratibu wa magonjwa yasiopewa
kipaumbele mkoani Ruvuma, Dr. Ida Ngowi. Magonjwa hayo ni kama vile Kichocho
cha kibofu na tumbo, Usubi , Minyoo ya tumbo (Soil worms), Matende na Mabusha
na vikope (Trachoma). (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...