Thursday, 2 June 2011

NEGLECTED TROPICAL DISEASES



Kaimu Mganga Mkuu (W) Halmashauri ya Wilaya Songea, Dr. Stephen Mhando  akizungumza na wanasemina wakati akifungua Kikao cha Mkoa cha Kutathmini na Kuratibu shughuli za magonjwa  yasiopewa kipaumbele (Neglected Tropical Diseases) cha siku tatu mkoani Ruvuma 2010-2011, kilichofanyika Peramiho LEO. Kushoto kwake ni Mratibu wa magonjwa yasiopewa kipaumbele mkoani Ruvuma, Dr. Ida Ngowi. Magonjwa hayo ni kama vile Kichocho cha kibofu na tumbo, Usubi , Minyoo ya tumbo (Soil worms), Matende na Mabusha na vikope (Trachoma). (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...