Friday, 15 May 2015

TTCL YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KUMI KWA GLOBAL OUTREACH





KUMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imekabidhi kompyuta kumi (10) pamoja na kifurushi cha intaneti ya bure yenye kasi ya 2Mbps kwa muda wa miezi sita vyote vikiwa na thamani ya 20,197,600/- kwa ajili ya Iringa Secondary School Internet Library (ISSIL).

Kampuni ya simu hiyo ya kizalendo ambayo inatoa huduma mbalimbali  za mawasiliano nchi imetoa misaada hiyo Global Outreach Tanzania ili kuunga mkono mradi wa maktaba mtandao (intaneti) katika kuboresha mfumo wa elimu nchini.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...