Tuesday, 11 December 2012

URANIUM



Mwanajiolojia Mkuu wa kampuni ya kuchimba Urani ya Mantra Tanzania Limited, Emmanuel Nyamusika akionyesha mmoja ya sampuli za urani zilizofanyiwa utafiti kwa waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma walipotembea kampuni  hiyo jana.

USAJILI WA WATOTO KUANZA DARASA LA KWANZA MWAKANI WA PAMBA MOTO


Mwanafunzi wa shule ya awali Christopher Simbaya akifanya mtihani wa majaribio kwa kuandika namba 2-10 ubaoni leo wa kuingia darasa la kwanza mwakani katika Shule ya Msingi ya Peramiho wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma. (Picha na Friday Simbaya)



ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...