Sunday, 12 October 2014

KINANA AMALIZA ZIARA IRINGA NA KUSEMA: "TUKUBALI KUKOSOLEWA!"

 Sehemu ya watu waliofurika kwenye uwanja wa Mwembetogwa Iringa.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa uwanjani muda mfupi kabla ya kupanda uwanjani,Nape ameumia mkono wa kulia wakati akicheza mpira uwanja wa Samora mjini Iringa.
 
 Wazee wa Kimila wakifuatilia mkutano.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...