Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi (kushoto) kwa kushirikiana na wadau wake amekabidhi vitanda 35 ‘double decked’ vyenye thamani ya shilingi milioni sita na nusu (6.5m/-) kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Isalavanu wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. Shule hiyo ilikuwa vitanda vitano tu na kupelekea wanafunzi hao kutandika magodoro chini.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...






























