Waziri Mkuu , Mizengo Pinda, ametangaza nia yake ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao .
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Wednesday, 22 October 2014
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof.
Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa
chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka
na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za
kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani
kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari
leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma wa chuo
hicho Prof. Gabriel Kassenga
Mhadhiri
wa Chuo Kikuu cha Ardhi ambaye pia ndiye mtaalam wa teknolojia za kibiolojia
zinazobadili tanga ngumu au maji taka (waste
treatment facilities) Dkt. Shabaan Mgana Akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo
pichani) namna Teknolojia hiyo ya kubadili taka ngumu na maji taka inavyotumika
na kuwasaidia wananchi walioonesha nia ya kuitumia ikiwamo kupata mboji kwa
ajili ya mazao, mimea pamoja na kupata gesi asili ya kupikia, ambapo mpaka sasa
kiasi cha nyumba 100 za awali katika mtaa wa Migombani, kata ya Segerea na nyumba mia moja katika Chuo Kikuu cha Ardhi
zimeshaunganishwa katika Mradi huo, wakati wa mkutano na waandishi wa habari
leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Idrissa
Mshoro
Miundombinu ya majaribio ya teknolojia za
kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani
kuwa mboji zilizojengwa katika maeneo ya Chuo Kikuu cha Ardhi, mtaa wa
Migombani, kata ya Segerea na katika kiwanda cha Madawa ya Binadamu cha Mansoor Daya Chemicals.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...






