Bwawa la Likingo linalotumika kuzalishia umeme wa Abasia ya Peramiho. Jumla ya kw 11 zinazalishwa kutoka kwenye kituo hiki kilichopo wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Monday, 3 December 2012
SUNDAY MARKET AT MDUDUWALO VILLAGE
Wakazi wa Kijiji cha Mduduwalo wilayani Songea, Mkoa Ruvuma wakifanya biashara ya viatu vya plastiki maarufu kama yebo jana, ikiwa siku ya mnada kwa wanakijiji hao.
FRIDAY SIMBAYA AKIPERUZI KITABU CHA PHYSICAL GEOGRAPHY
Mwandishi wa Kitabu cha 'Physical Geography for Advanced level Students' Katumbi O.J. Chinguku alipotembea ofisi za Mwenge leo, hapa alileta kazi yake kwa ajili ya gazeti la Mwenge. (Picha Na Oswald Ngonyani)
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...



