Je, kupeleka watoto kunyoa kwa vinyozi vinavyotumiwa na watu wazima ni salama? Nafikiri sio sahihi kungetakiwa kuwepo na vinyozi vya watoto kuliko kuwachanganya na wakubwa kama unavyojua ni rahisi kuambukizwa magonjwa ya ngozi kama vile fangasi na mapunye kwa vile ngozi yao ni laini.
Miradi mingi ya maji hufa muda mfupi baada ya kukamilika kutokana na kutowashirikisha wananchi, na wao kuona miradi hiyo kama si mali yao bali ni ya serikali na matokeo yake hubaki kuwa vyuma chakavu bomba ambalo halitowi maji kwa miaka mingi kutokana na ukosefu wa usimamizi madhubuti. Ingefaa pindi miradi ya maji inavyo kamilika ikabidhiwe kwa jumuiya za watumiaji maji (WUA) katika maeneo husika ili iweze kudumu. Pia ingefaa gharama za miradi wa maji (water points) ziendane na ubora wa miradi (end product) yenyewe na kuzingatia kwamba hakuna maji ya kutosha ardhini kwenye mwamba wa maji 'watertable'.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Sunday, 26 December 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...