Wakina ambao hawakufahamika majina yao mara moja wakisubiri wateja wa kununua maji ambapo dumu moja la maji uuzwa kati ya shilingi 200 hadi 400 katika stendi ya basi wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kama walivyokutwa na mtandao wetu, na wateja wao wakubwa ni madereva wa malori na wafanyabisha wa chakula.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Saturday, 28 March 2015
POLICE CHECKPOINT YA TUKUTANE HOYEEE!!
Polisi wa checkpoint ya eneo la Tukutane wilayani Same mkoani Kilimanjaro wakimkagua dereva wa Basi la Sai Baba Express ambaye hakufahamika jina lake mara moja leo mchana. Nimependa kazi yao kwa kweli wanafanya vizuri kwa kuhakikisha mabasi hayazidishi abiria, dereva kama hajavaa sare na kuhakikisha abiria wamefunga mikanda. Hongereni sana kwa kazi nzuri niona kwa macho yangu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...