Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Sunday, 16 November 2014
JINSI WATUMISHI WA MKOA WA IRINGA WALIVYOMPOKEA MKUU WA MKOA MPYA...!
Mkuu wa mkoa mpya wa Iringa Amina Juma Masenza akisalimia na katibu tawala msaisizi sehemu ya uchumi, Adam Swai baada ya kuwasili katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa mkoa hivi karibuni akitokea wilaya ya ilemela kuanza rasmi majumu. Amina Masenza amechukuwa nafasi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa Dkt. Christine Ishengoma ambaye anasubiri kupangiwa majumu mengine na Rais Prof. Jakaya Kikwete.
Mkuu wa mkoa mpya wa Iringa Amina Juma Masenza akitamani zawadi ya kalamu ya wino baada ya kukabidhiwa na katibu tawala wa mkoa wa Iringa, Ayubu Wamoja (katikati).
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...












