Tuesday, 20 November 2012

KAMBI NDOGO YA MACHO



Daktari wa Macho katika Hospitali ya Peramiho, Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Dr. Wade Kabuka akimchunguza macho mwanafunzi mmoja wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Peramiho kwa kutumia mashina ya macho ya Slit Lamp (Bimicroscope) wakati wa kambi ndogo ya huduma ya kupima macho. (Picha na Friday Simbaya)

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...