Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Friday, 1 December 2017
WAZIRI WA NISHATI APIGA MARUFUKU KUNUNUA NGUZO NJE YA NCHI
Waziri wa nishati Dkt. Medrad Kalemani amepiga marufuku uagizwaji wa nguzo za umeme na badala yake tanesco na rea waagize nguzo kutoka viwanda vya ndani.
Dkt kalemani alitoa agizo hizo hivi karibuni wakati wa ziara yake siku moja mkoani iringa.
Alisema makampuni ya ndani yanayozalisha nguzo yana uwezo mkubwa wakutosheleza mahitaji ya nguzo kwa tanesco na rea katika kutekeleza mradi wa umeme vijijni awamu ya tatu.
Akiwa mkoani hapa alitembelea viwanda vya Qwihaya General enterprises na sao hill industries vyote vya wilayani mufindi.
Alisema kuwa lengo ni kuunga mkono kaulimbiu ya rais dkt. john Pombe Magufuli ya tanzania yenye viwanda.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...










