Wednesday, 24 December 2014

ST. DOMINIC SAVIO KIDEDEA MKOA WA IRINGA MATOKEO LA DARASA LA 7



Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wamoja Ayubu (kulia) akifungua kikao (kushoto) ni Afisa Elimu Mkoa wa Iringa Mwalimu Joseph Mnyikambi

Mkoa wa Iringa umezitambua shule 10 bora na wanafunzi 10 waliofanya vizuri zaidi katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2014.


Shule hizo na nafasi kimkoa na kitaifa katika mabano ni St. Dominic Savio (1/ 39), Ukombozi (2/ 171), St. Charles (3/176), Ummusalaama (4/ 183), Wilolesi (5/210), Sipto (6/241), Star (7/ 252), Southern Highland (8/ 353), Lipalama”A” (9/367) na BrookeBond (10/520).

MAGAZETI LEO JUMATANO...!





ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...