Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Iringa, Dodoma, Pwani na wenyeji Morogoro akiendelea na warsha ya namna ya kuripoti uchaguzi 2015 iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na shiriki la BBC kupitia mradi wake wa Media Action inayofanyika mjini Morogoro. Katika semina hiyo waandishi wa habari wamepata mafunzo kuhusu mambo muhimu katika uchaguzi pamoja na vikwazo katika uchaguzi wa kidemokrasia. (Picha na Friday Simbaya)
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Tuesday, 11 August 2015
MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidi https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack.
We have taken measures to lighten the effects of this as much as we can. Unfortunately it is something that we don't have much control over, but we will do all in our power to get the blog back to full functionality.
Imetolewa na Operation Manager wa Modewjiblog, Zainul Mzige.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
