Mafundi na abiria wa bus la Abood akisaidiana kutengenaza ekizoti paipi ya bus baada kukatika katika eneo la Igemi katikati ya Mahenge na Mtandika Wilaya ya Killolo mkoani Iringa jana majira ya saa 3 asubuhi. Bus la Abood lilianza safari kutoka Iringa Mjini kwenda Dar saa 1 asubuhi lakini lilipofika eneo la Igemi 'exhust pipe' ilichomoka na mafundi wa basi wakatengeza kidogo ndipo tulipofika Hoteli ya Aljazeera walilichomelea na tukaenedelea safari hadi Ubungo saa 9:30 hivi.
Foleni ya magari kama ilvyokutwa katika eneo la Igemi katika ya Mahenge na Mtandika wilayani Kilolo, Mkoa wa Iringa ya kisubiri kuruhusiwa na watengezaji wa barabara ya Tanzam.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Sunday, 12 September 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...