Saturday, 27 December 2014

TUNACHOTA MAJI...!


Wakazi wa mtaa wa Isoka B Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa ambao hawakufamika majina yao mara moja wakichota maji kwenye mpira wa maji uliopasuka. Ni kawaida kukuta hali kama hii sehemu nyingi za ambao watu wanapasuwa bomba la maji kunakopelea mamlaki ya maji safi na taka (IRUWASA) kukosa mapato.

MAGAZETI LEO JUMAMOSI




.
.
.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...