Friday, 21 January 2011

DIWANI AKIHIMIZA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Mheshimiwa Diwani wa Kata Mpya ya Peramiho, Izack Alex Mwimba akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata yake katika mkutano wa hadhara uliyofanyika Kijiji cha Peramiho 'A'. Diwani huyo alikuwa akiwahimiza wananchi katika shughuli za maendeleo hususani ugawaji wa vocha za pembejeo.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...