Friday, 18 January 2013

KLINIKI YA AFYA YA UZAZI NA WATOTO

Muuguzi mmoja katika Hospitali ya Peramiho  katika Kliniki ya Afya ya Uzazi na Watoto (RCHC), Wilaya Songea (V) mkoani Ruvuma akiwapima watoto uzito kabla ya kwenda katika chumba cha maabara kupata vipimo jana. 

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...