Sunday, 12 October 2014
Saturday, 11 October 2014
NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya
Rais Jakaya Kikwete akipokea Katiba Inayopendekezwa kutoka kwa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta wakati wa hafla iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma juzi. Katikati ni Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema haitaendesha uchaguzi wa aina yoyote, wala kuitisha kura ya maoni hadi kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura itakapokamilika.
Maofisa polisi 120 watimuliwa CCP
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu
Moshi. Maofisa wa Polisi wapatao 120 wa Jeshi la Polisi, waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya kupandishwa vyeo katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), wametimuliwa chuoni hapo.
KATIBU MKUU WA CCM AVUNA WANACHADEMA NYOLOLO
Katika mkutano uliofanyika kijiji cha Nyololo aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kijiji cha Igowole Bw. Josephat Sibadi Soda amerejea CCM baada ya uongozi wa chama hicho kutomlipa madeni ya vifaa mbalimbali alivyochukua madukani wakati wa ujenzi wa mnara wa marehemu Daud Mwangosi aliyeuwawa wakati wa mapambano ya jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA mwaka jana uliojengwa katika kijiji cha Nyololo yeye akiwa mkandarasi na mbunfu wa mnara huo.
Friday, 10 October 2014
Faida za kiafya za kula ndizi
Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.
LHRC marks the World Anti Death Penalty Day

The LHRC on October 10, 2014 marked the World Anti Death Penalty Day by issuing a press statement calling upon the need to ensure that the coming Tanzanian Constitution scraps out a provision on death penalty.
Thursday, 9 October 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...