Sunday, 12 October 2014

KINANA AMALIZA ZIARA IRINGA NA KUSEMA: "TUKUBALI KUKOSOLEWA!"

 Sehemu ya watu waliofurika kwenye uwanja wa Mwembetogwa Iringa.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa uwanjani muda mfupi kabla ya kupanda uwanjani,Nape ameumia mkono wa kulia wakati akicheza mpira uwanja wa Samora mjini Iringa.
 
 Wazee wa Kimila wakifuatilia mkutano.

Saturday, 11 October 2014

NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya

Rais Jakaya Kikwete akipokea Katiba Inayopendekezwa kutoka kwa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta wakati wa hafla iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma juzi. Katikati ni Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein. Picha na Edwin Mjwahuzi 

Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema haitaendesha uchaguzi wa aina yoyote, wala kuitisha kura ya maoni hadi kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura itakapokamilika.

Maofisa polisi 120 watimuliwa CCP

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  

Moshi. Maofisa wa Polisi wapatao 120 wa Jeshi la Polisi, waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya kupandishwa vyeo katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), wametimuliwa chuoni hapo.

KATIBU MKUU WA CCM AVUNA WANACHADEMA NYOLOLO

2 4

Friday, 10 October 2014

Faida za kiafya za kula ndizi



Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.

LHRC marks the World Anti Death Penalty Day

 
The LHRC on October 10, 2014 marked the World Anti Death Penalty Day by issuing a press statement calling upon the need to ensure that the coming Tanzanian Constitution scraps out a provision on death penalty. 

JESHI LA MKOANI IRINGA LINAMSHIKILIA NGAGA KWA MAUAJI YA RAFIKI YAKE



Na Friday Simbaya, Iringa
Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Gwerino Ngaga (70) mkazi wa Mbigili kwa kosa la kumpiga risasi  kifuani Thadei Mbugu(40) mkazi wa Mbigili  na kusababishia kifo chake papo hapo.

Magazeti Leo Ijumaa


1_e3da8.jpg
2_cdb71.jpg
3_eb937.jpg
4_a4242.jpg
5_1ee15.jpg

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...