Friday, 27 March 2015

AFRICAN COURT NEEDS POWER



One of the participants of court reporting training, Friday Simbaya (R) holding his certificate awarded by Thomson Reuters Foundation during the training held in Arusha region, Tanzania from 23-27 March 2015. From left is Royston Matin and Brendan Boyle (C) who were the programme instructors.






Participants of Court Reporting Training held in Arusha, Tanzania from 23-27 March 2015 pose for the group photo when they visited the African Court on Human and People's Rights (AfHPR) yesterday for a familiarization tour to see how the court operates. (Photo by Brendan Boyle)


ARUSHA: The Assembly of Heads of States and Government of the African Union (AU) is requesting the AU commission, in consultation with the African Commission of Human People’s Rights (ACHPR) to assess the implications of extending the jurisdiction of the Court to try international crimes, such as genocides, crimes against humanity and war crimes and thereon submit a report to the assembly.

Thursday, 26 March 2015

JEMBE FM YA MWANZA YAPEWA LESENI



Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi leseni kwa redio ya Jembe FM ya jijini Mwanza kwenye ofisi za makao makuu ya TCRA jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma ametaka matumizi sahihi ya masafa ya radio yanayatumiwa kurusha vipindi vya radio kwa ajili ya maendeleo ya umma.

TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA




Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.

Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam. 

Miongoni mwa eneo linaloongoza kwa kuwadhalilisha wanawake ni eneo la soko la Mchikichini lililopo Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.

Mtandao huu umekuwa ukishuhudia vitendo hivyo vibaya kwa jamii ambapo wengi wa vijana wamekuwa wakifanya kwa makusudi kuwadhalilisha wanawake hasa wasichana wadogo kwa kuwashika maungoni (makalio, kifua/maziwa) huku wakiwalazimisha kununua bidhaa zao.

Vitendo hivi vimekuwa ni kama mchezo wa kawaida kwani vijana hao wamekuwa wakiendeleza hali hiyo kwa muda mrefu sasa huku wasichana/wakike hao wanaofanyiwa vitendo hivyo wakiwa hawana wa la kufanya, Mtandao huu tunasema huo ni udhalilishaji na unatakiwa kuchukuliwa hatua za haraka kukomeshwa kwani unakiuka maadili na utu wa mwanamke.


Modewji blog tunatambua ipo mamlaka husika zinazoweza kulichukulia hatua suala hili basi kama zipo zianze sasa kwani udhalilishaji huu huko mbele unaweza kuleta madhara makubwa kwa mtendewa na hata anayetenda kwani akiachwa sasa baadae anaweza kufanya tukio kubwa na likafumbiwa macho ikiwemo kubaka.

Nachelea kuamini kama vijana hawa wanafanya hivi kwa kujiamini ama kuna nguvu ya msukumo nyuma yake? Kipindi cha nyuma sote tumekuwa tukishuhudia vijana hao wakiwachania nguo wanawake waliokuwa wakivaa vimini waliokuwa wakipita katikati ya mitaa ya Kariakoo wakati huo huo wamesahau kuwa nguo hizo wamewauzia wao, tukiacha hilo pia wapo hawa Makondakta wa daladala nao ni miongoni mwa watu wanaoongoza kufanya vitendo vya kidhalilishaji wanawake.

Mtandao huu umeweza kuliona hilo kwa upande wa Makondakta wa Daladala nyingi hasa nyakati za abiria wa kike anapopanda hatua ya kwanza wao wanapeleka mkono kwenye ‘Makalio’ ya Mwanamke na kumvutia ndani ya daladala, yaani kama sapoti ya kumuingiza ndani.

Kondakta anafanya hivyo wakati huo amekaa mlangoni mwa daladala yake, lakini anapopanda mwanaume usogea ndani ama hushuka chini bila hata ya kumshika, lakini akipanda Mwanamke tu utakuta Konda anamshika makalio kuona kwamba ni jambo la kawaida, Hivyo ni wakati sasa wa kubadilika jamani vitu vingine hivi ni kushusha utu wa mwanamke hivyo tubadilike na tuchukue hatua, Asante.

Wednesday, 25 March 2015

MAGAZETI LEO ALHAMISI










2 DAY FINANCE FOR NON FINANCE MANAGERS TRAINING BY PEOPLE POWER



Join our 2-day workshop to acquire greater confidence and working knowledge of important finance concepts.

When: 29th & 30th April, 2015, Where: The Colosseum, DSM




For further details and registration, visit www.peoplepower.co.tz (click on 'Finance for Non Finance Managers') or call us on +255-752-124-124

MO DEWJI FOUNDATION YAMPATIA BAISKELI KIJANA ALIYEPOOZA MGUU



Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David akimkabidhi rasmi kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Taasisi ya MO DEWJI FOUNDATION inayojishughulisha na miradi ya kusaidia jamii Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo Afya, elimu na maji mwishoni mwa wiki imeweza kumpatia kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.

Tukio hilo la makabidhiano limefanyika katika ofisi za Mo Dewji Foundation jijini Dar es Salaam ambapo Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David alikabidhi msaada huo kwa kijana Paulo Ezekieli

Tuesday, 24 March 2015

KOMBO: Ruhusuni wanaume wadi za leba kuchochea uzazi salama




Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

WALIONG’ARA RED CARPET KWENYE SHEREHE YA SIKU YA WANAWAKE ZANZIBAR

Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye red carpet wakati wa sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyowakutanisha wanawake kutoka kila kona ya visiwani Zanzibar ambayo iliandaliwa na Kikundi cha Wanawake cha Zanzibalicious na kufanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya hoteli ya Bwawani.




Mbunifu wa mavazi kutoka bara Mama wa mitindo Asia Idarous (kushoto) akipozi na mbunifu wa mavazi kutoka visiwani Zanzibar Matilda Ishungisa wa Malty design.



Makamu mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious, Zaning'ha Otembo.




Mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson.








Naibu Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Thuwaiba Kisasi.


Wanaume nao hawakubaki nyuma kutoa sapoti kwa wanawake.


Mama wa mitindo Asia Idarous aking'ara kwenye red carpet.




Kutoka kushoto ni Make up artist Sada, Mama wa mitindo Asia Idarous na MC wa sherehe ya siku ya wanawake duniani visiwani Zanzibar, Mishi Bomba ambaye pia ni mtangazaji wa Magic FM.

PICHA KUTOKA ARUSHA


Mr Bernard James Tanzania, Dar es Salaam Mwananchi Communications Limited (katika) wakibadilishana uzoefu na Friday Simbaya wakati mafunzo jijini Arusha. Kushoto ni Seif Mangwangi Tanzania, Arusha Jamboleo & Habari Leo Newspapers


Kutoka kushoto ni Friday Simbaya Tanzania, Iringa region the Guardian Ltd, Jacqueline Opar Kenya, Nairobi RADIO WAUMINI na Zulfa Musa Tanzania, Arusha Mwananchi Communications. 




(L-R)Friday Simbaya Tanzania, Iringa region the Guardian Ltd na Herbert Moyo Zimbabwe, Harare The Independent.


BREAKING NEWS.. POLISI WAOKOTA MWILI KWENYE MTARO ARUSHA



Mwili wa marehemu wakutwa mtaroni, mtaa wa CCM, karibu na jengo la CCM Mkoa barabara ya makongoro, mjini Arusha. Mpaka sasa haujajulikana ni jinsia gani, kutokana na kuharibika, kwa mujibu wa wakazi wa maeneo wanasema umeshindwa kutambulika kutokana na kukaa kwa muda mrefu ambako zaidi ya Siku NNE (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA).

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...