Monday, 18 May 2015

Stendi kuu mjini Iringa waanzisha timu ya mpira wa miguu ya KIBIKI FC


Kibiki azizungumza na kijana, fundi viatu wa mjini Iringa!




Na mwandishi wetu, Iringa



VIJANA wa stendi kuu ya mabasi ya mjini Iringa, wameanzisha timu ya mpira wa miguu ya ‘Kibiki Football Club’ili kuunga mkono harakati za mwanahabari wa gazeti la Uhuru na mzalendo, baada ya kutangaza nia kuwania jimbo hilo.

TAKWIMU ZAKWAMISHA UPATIKANAJI WA MAENDELEO



Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar, Bi Amina Shabani akifungua semina ya siku moja ya kujadili mpango utekelezaji wa Maendeleo ya Malengo ya Millenia MDG’s, iliyofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar na kuwashirikisha Maofisa Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Viongozi wa Taasisi zisizo za Kiserekali, ulioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar na Wizara ya Mambo ya Nje Tanzania na kufadhiliwa na UNDP.




Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.

Aidha upotoshaji wa takwimu hizo unaofanywa na baadhi ya watendaji kwa kutaka kujinufaisha wao wenyewe pia umekuwa ukichangia kuchelewa hatua za kimaendeleo.

MO AKUTANA NA RAIS FILIPE NYUSI WA MOZAMBIQUE JIJINI DAR






CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.

Saturday, 16 May 2015

Why i have infected over 300 men with HIV, Student Confesses

Kenyan-woman-spreads-HIV-300-men

A female student in Kenya has revealed that she has infected a total of 324 men with the Human Immunodeficiency Virus (HIV). 

The HIV positive girl, who attends the Kabarak University in Nakuru, is said to have been infected by a man at a party. The unidentified 19-year old is allegedly aiming to infect a total of 2000 men in revenge.

According to reports: The girl allegedly contacted Kenyan Scandals on Facebook and claimed she had something to confess. After she was assured her identity was going to be protected (the Kenyan Daily Post, however, published a picture from her Facebook profile along with the article) she wrote: “Sep 22nd 2013 is a day I”ll never forget, we went clubbing in town and got drunk with some senior students then went back hostels for party round 2″.

TTCL DONATES COMPUTERS TO KICHANGANI STUDENT CENTRE






TANZANIA Telecommunications Company Limited (TTCL) has donated ten (10) desktop computers together with a six-month free internet bundle towards Iringa Secondary School Internet Library (ISSIL) ran by the Global Outreach Tanzania (GOT) based in Iringa Region.

KATIBU MKUU TAMISEMI, SAGINI ASISITIZA UIMARISHAJI WA ELIMU



Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na. Serikali ya Mtaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini alipomtembelea ofisini kwake mjini Dodoma wakati wa ziara ya kikazi ya siku moja ya kukutana na wadau wa elimu walioshiriki mkutano wa kutathmini sekta ya Eimu nchini kwa mwaka 2014 uliofanyika katika kumbi za mikutano Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).




KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali ya Mtaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini amesema elimu ya sasa inaelekezwa zaidi katika kumwezesha mtu kujitegemea.

Friday, 15 May 2015

TTCL YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KUMI KWA GLOBAL OUTREACH





KUMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imekabidhi kompyuta kumi (10) pamoja na kifurushi cha intaneti ya bure yenye kasi ya 2Mbps kwa muda wa miezi sita vyote vikiwa na thamani ya 20,197,600/- kwa ajili ya Iringa Secondary School Internet Library (ISSIL).

Kampuni ya simu hiyo ya kizalendo ambayo inatoa huduma mbalimbali  za mawasiliano nchi imetoa misaada hiyo Global Outreach Tanzania ili kuunga mkono mradi wa maktaba mtandao (intaneti) katika kuboresha mfumo wa elimu nchini.

Thursday, 14 May 2015

MAPATO YA NDANI YAIMARISHWE KUFANIKISHA MALENGO YA MILLENIA







Mkurugenzi wa kupunguza umaskini kutoka Wizara ya Fedha, Ana Mwasha (kulia) akifungua kongamano, linalojadili yaliyojiri katika Malengo ya Millenia na nini kinastahili kufanywa katika SDG's ili kuhakikisha mafanikio katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Dk.Oswald Mashindano na Katikati ni Naibu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)- Programme, Amon Manyama.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Mwandishi Wetu

MKURUGENZI wa Kupunguza Umasikini kutoka Wizara ya Fedha, Anna Mwasha amesema changamoto za uwezo wa kifedha kutekeleza miradi mbalimbali iliyokuwa katika Malengo ya Milennia, zinatoa ishara tosha ya kubadili mikakati ili kuwa na mafanikio katika Mipango ijayo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).

MAGAZETI LEO ALHAMISI

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...