Saturday, 20 June 2015

Mbowe: Nitagombea tena ubunge Hai


Freeman Mbowe akihutubia umati wa wananchi wa Jimbo la Hai katika mji mdogo wa Bomang’ombe jana. Picha na Peter Saramba 

Na Peter Saramba na Rehema Matowo

Hai. Siku moja baada ya kuhukumiwa kulipa faini Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la shambulio la kawaida dhidi ya aliyekuwa mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu uliopita, Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza kuwania tena ubunge katika jimbo hilo.

Jaji Ramadhani awavuruga wagombea urais CCM



Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu za kuomba kugombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dodoma juzi. Picha ya Maktaba 


Na Fidelis Butahe

Dar es Salaam. Hatua ya Jaji Mkuu wa zamani wa Tanzania, Augustino Ramadhani kujitosa kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais imewavuruga wagombea wenzake wa urais na kuibua mjadala mzito katika maeneo mbalimbali nchini.


Mitandao ya kijamii ilijaa mijadala inayohusu kuingia kwake katika kinyang’anyiro hicho, huku baadhi ya wapambe wa wagombea wakieleza wazi kukatishwa tamaa na mgombea huyo ambaye wasifu wake unaonyesha ana sifa za ziada zaidi ya baadhi ya wagombea.

MWIGULU: NTAKOMESHA UTENDAJI KAZI WA KIMAZOEA NI KIWA RAIS

Ayelikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba (katikati) ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi akipeana mikono na Mwenyekiti CCM Iringa Mjini Abeid Kiponza baada ya kukabidhiwa orodha ya majina ya wadhamini waliofika kumdhamini mkoani Iringa jana usiku. Anayeshudia ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa CCM Jesca Msambatavangu (kulia). 

Ayelikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi akishuhudia mmoja wa wadhamini akitia saini kwenye fomu za udhamini mjini jana usiku alipofika kusaka wadhamini mkoani Iringa akitokea mkoani Njombe.

Wanachama waliofika kumdhamini ayelikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi wakishangilia wakati akihutubia  usiku ja mjini. Nchemba alikuwa mkoani Iringa kusaka wadhamini akitokea mikoa ya Ruvuma na Njombe.

Ayelikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi akihotubua wanachama waliofurika ukumbini ofisi kuu ya CCM Iringa Mjini  kumdhamini mkoani Iringa jana usiku. 

ZIMBABWE TOURISM ON THE RIGHT TRACK


Chief Executive of Zimbabwe Tourism Authority (ZTA), Karikoga Kaseke (Centre) briefing the International buyers who are attending the 8th edition of the Sanganai/Hlanganani–World Tourism Expo which is taking place in Harare International Conference Centre. Others from left is Mr. Wengayi Nhau the Representative from Zimbabwe Council for Tourism (ZCT ) , Executive Director Destination Marketing, Mr. Manjengwa Jefferies, Chief Operating Officer, Mr. Givemore Chidzidzi and Head of Africa & Middle East of Zimbabwe Tourism Authority, Ms. Praise Gurumani Mazhandu.(All photos by Zainul Mzige of modewjiblog)

By modewjiblog team, Harare

The Zimbabwe Tourism Authority (ZTA) has a mandate of marketing Zimbabwe as a tourism destination boasts its success in the tourism industry, by saying that last year the sector contributed 11 percent of the GDP.

On top of that the Authority has confidence that by the year 2020 they will be contributing 15 percent.

Fastjet yafadhili ziara ya waandishi wa habari wa Tanzania nchini Zimbabwe



Pichani ni Mhudumu wa Mapango ya Chinhoyi Cephas Sithole akitoa maelezo kwa timu ya waandishi wa habari waliombatana na wadau wa utalii kutoka nchini Afrika Kusini kwenye ziara hiyo ya kutembelea vivutio vya utalii nchini Zimbabwe katika mapango Chinhoyi.(Picha zote na Zainul Mzige).

Na Modewjiblog team, Harare

Waandishi wa habari kutoka vyombo 5 vya habari vya magazeti ya Tanzania ikiwemo mtandao wa habari wa modewjiblog ambao ni Justin Damiana (The African), Frank Aman (The Guardian), Zainul Mzige (modewjiblog), Mariam Said (Daily News) pamoja na Timothy Kitundu (East Africa Business Week) walipata mwaliko kutoka Mamlaka ya Utalii ya Zimbabwe (ZTA) kufanya utalii katika mapango ya Chinhoyi, Ziwa Kariba, Shamba la ufagaji wa Mamba, Hifadhi ya Taifa ya Kariba, Bandari ya Zambezi pamoja na ukuta wa bwawa la Kariba unaotengenisha nchi ya Zambia na Zimbabwe.

Thursday, 18 June 2015

HOW TO EASILY CLEAN YOUR KIDNEYS




The kidneys are tasked with arguably the most important role in your body; they are responsible for filtering out deadly toxins that would otherwise cause the body to shut down. So, it only makes sense to keep the organ keeping you healthy, well… healthy, right? This article will be focusing on the top foods and herbs to keep your kidneys functioning and strong.

While exercise is always an important factor in health, a proper diet Is the key to keeping your kidneys and other internal organs functioning in the best way possible. Avoiding things like processed foods, additives and foods high in sugar are important. However, some “healthy” foods could also lead to a decline in the health of your kidneys. Red meats, while packed with protein, are one of the food choices that if not properly moderated could lead to declining health in your kidneys.

PRESIDENT FREDRICK CHILUBA; 4 YEARS TODAY.......!



He was a man with a small stature. He died tall.

His rise from the shameful pits of poverty to become one of Zambia's most charismatic leaders stands out as an inspirational tale of one man's journey from struggles to glory.


In 1991, the nation was pregnant with hope, the birth pains of a new democratic dispensation had become strong. President Kaunda's One Party rule was fast coming to an end as discontent over his 27 year hold on power swept the nation like wildfire.

PROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI IRINGA

Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya akisalimiana na wanachama na wadhamini baada ya kutoka katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo.

 


Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya akiondoka kutoka katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo baada ya kupata wadhamini na kuelekea Uwanja wa ndege Nduli kwa ajili ya safari ya kwnda mkoani Tabora.


Katibu Msaidizi wa CCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Hakimu Jackson (kushoto) akimkabidhi fomu ya majina ya wadhamini Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo. (Picha Na Friday Simbaya)




Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya aendelea kusaka wadhamini mkoani Iringa ili apewe ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Profesa Mwandosya alisema kuwa endapo atapata bahati ya kupeperusha bendera ya chama chake katika mbio za kuwania urais mwaka huu na kufanyikiwa kushinda urais, atahakikisha elimu afya, ajira kwa vjiana inaboreshwa pamoja na kuboresha huduma za afya kwa wazee.

Profesa Mwanadosya ambaye aliongozana na mke wake Mama Lucy Mwandosya wafika tangu juzi mjini Iringa kusaka wadhamini pamoja na kuongea nao.

Wadhimini waliotoka sehemu mbalimbali walifika katika ofisi kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijijni ambapo hata hivyo alipata wadhamini zaidi ya 36 katika mbio za kusaka urais.

Profesa Mawandosya pamoja timu yake wameondoka nkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kuenelea na kazi ya kutafuta wadhamini baada ya kuzunguka zaidi ya mikoa mitano mpaka sasa.


Idadi ya wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongezeka na kwa sasa kufikia wagombea 36.

KONGAMANO LA UPATIKANAJI WA FEDHA ZA NDANI ZA MAENDELEO LAFANYIKA JIJINI ARUSHA




Mratibu Mkazi Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) na Mwakilishili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez ambaye alikua mgeni rasmi katika Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo akitoa hotuba yake kwa washiriki kutoka Halmashauri za wilaya nchini lililofanyika jijini Arusha.




Mkuu wa Mfuko wa Umoja wa mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF) nchini na Meneja wa LFI duniani, Peter Malika akizungumza wakati Kongamano hilo.


Mkurugenzi wa Huduma(Tamisemi), Denis Bandisa akizungumza wakati Kongamano ambalo pamoja na mambo mengine alizitaka halmashauri nchini kubuni vyanzo vya ndani vya mapato badala ya kutegemea wafadhili.


Washiriki kutoka maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi wakifatilia kwa makini mada katika Kongamano hilo.


Washiriki kutoka maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi wakiwa katika picha ya pamoja, Kongamano hilo limefanyika katika hoteli ya Mount Meru jijini Arusha.

Na Mwandishi wetu, Arusha

MFUKO wa Umoja wa Mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), umeitisha kongamano la siku mbili la upatikanaji wa fedha za ndani kwa maendeleo.

Tuesday, 16 June 2015

MAHAFALI YA TATU YA SHULE YA AWALI YA CHEKECHEA YA OJAYS KIDDIES ZONE

 Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja
 Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo
 Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia)
 Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha wadada wanaowalea watoto wadogo wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone
 Mwalimu Debby Ndulla(kushoto) akimtambulisha Kaka Tobi mbele ya wazazi pamoja na walezi wa watoto waliofika kwenye mahafari ya Tatu ya shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone
 Kaka Tobi akiwapungia mikono wazazi pamoja na walezi wa watoto(hawapo pichani)
 
 Wanafunzi wa dalasa la Lantana katika shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakitoa burudani wakati wa mahafari ya tatu ya shule hiyo yaliyofanyika leo

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...