Tuesday, 31 March 2015

Nigeria votes: Forget the candidates, democracy was the real winner


Lagos, Nigeria (CNN)They came in droves, men, women, young, old. Mothers with babies strapped tightly to their backs, pregnant women, the elderly, some who could barely walk unaided.

They waited patiently for sometimes seven, eight hours in the scorching sun. In parts of the country where it poured down with rain, they stood, barely shielded under makeshift umbrellas.

It was one of Africa's biggest elections and it didn't disappoint. There was high drama, violence and tensions but most of all an electorate determined to exercise their democratic right to vote. In northern Nigeria, women turned out in large numbers.

KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA UFUATILIAJI WA SHERIA YA MIZANI NA VIPIMO 1982




Mwenyekiti wa kikao cha kikosi kazi cha ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo mwaka 1982, Eng. Awariywa Nnko akiendesha kikao hicho leo katika ukumbi wa IREBUCO Iringa mjini. TCCIA kwa kushirikiana na BEST-Dialogue inatekeleza mradi wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo namba 20 ya mwaka 1982. Mradi huu unahusisha sekta ya umma na binafsi pamoja na vyombo vya habari katika mikoa ya Iringa na Njombe.


With 95% Polling Units Collated, SaharaReporters Projects Buhari As President-Elect



Muhammadu Buhari Support Organizations

Sahara Reporters is confidently projecting Muhammadu Buhari of the All Progressives Congress (APC) as the winner of last weekend’s presidential election based on collated poll results from 95 percent of Nigeria’s polling units. The Independent National Electoral Commission (INEC) will resume the official release of the poll figures at 10 a.m. Nigerian time today.


SharaReporters is confidently projecting Muhammadu Buhari of the All Progressives Congress (APC) as the winner of last weekend’s presidential election based on collated poll results from 95 percent of Nigeria’s polling units. The Independent National Electoral Commission (INEC) will resume the official release of the poll figures at 10 a.m. Nigerian time today, with Mr. Buhari all but certain to be declared the president-elect.

SHOW YA LADY JAY DEE NA ALI KIBA ILIVYOBAMBA KIOTA CHA M.O.G BAR & RESTAURANT



Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho.



Vijana watanashati wenye vipaji vya aina yake wa Machozi Band wakipiga Back Vocal kumpa sapoti Lady Jay Dee a.k.a Komando Binti Machozi. Kutoka kushoto ni Faraja, Omirady pamoja na Chiqitita.


Pichani juu na chini ni mashabiki wa Machozi Band wakimtunza manoti Lady Jay Dee.

Sunday, 29 March 2015

UN KUENDELEA KUISAIDIA TANZANIA KUTANZUA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO



Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile (katikati) akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Hyatt Regency akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo (kulia) pamoja na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez kwa ajili ya kuzindua rasmi ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2014 Tanzania, uzinduzi uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Nyuma yao ni Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF), Dk. Tausi Kida.

Na Mwandishi wetu

UMOJA wa Mataifa umesema kwamba utaendelea kuisaidia serikali ya Tanzania katika kutanzua changamoto za maendeleo zinazoikumba nchi hii.

Kauli hiyo imetolewa na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja huo (UNDP), Alvaro Rodgriguez wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya maendeleo ya Binadamu ya mwaka 2014 mwishoni mwa wiki.

Ripoti hiyo imeandaliwa na Taasisi ya utafiti wa masuala ya kiuchumi na jamii- ya ESRF kwa ufadhili wa UNDP na inagusia changamoto za Maendeleo .

TAHARIRI: TCRA IZIMULIKE BLOGS ‘UCHWARA’ NA KUZICHUKULIA HATUA KALI







"Screen shot" ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.

…Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo Intaneti wapo wanayoyatumia vibaya.

Saturday, 28 March 2015

BIASHARA YA MAJI IMESHAMIRI SAME...!


Wakina ambao hawakufahamika majina yao mara moja wakisubiri wateja wa kununua maji ambapo dumu moja la maji uuzwa kati ya shilingi 200 hadi 400 katika stendi ya basi wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kama walivyokutwa na mtandao wetu, na wateja wao wakubwa ni madereva wa malori na wafanyabisha wa chakula. 




POLICE CHECKPOINT YA TUKUTANE HOYEEE!!



Polisi wa checkpoint ya eneo la Tukutane wilayani Same mkoani Kilimanjaro wakimkagua dereva wa Basi la Sai Baba Express ambaye hakufahamika jina lake mara moja leo mchana. Nimependa kazi yao kwa kweli wanafanya vizuri kwa kuhakikisha mabasi hayazidishi abiria, dereva kama hajavaa sare na kuhakikisha abiria wamefunga mikanda. Hongereni sana kwa kazi nzuri niona kwa macho yangu.

Friday, 27 March 2015

PRESIDENT LUNGU DISSOLVES MORIBUND JUSTICE CHIKOPA TRIBUNAL, REINSTATES JUSTICES MUTUNA, KAJIMANGA;



Shanghai, (FRIDAY, 27th March 2015) — His Excellency Mr. Edgar Chagwa Lungu, President of the Republic of Zambia has dissolved the moribund Justice Chikopa-led Tribunal and lifted the suspension of the two judges it was tasked to probe for alleged misconduct.

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI



Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa elimu ya uelewa jinsi ya kukabiliana na mazingira waliyomo.

Akisoma risala siku ya wanawake mbele ya mgeni rasmi mke wa rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mama Mwanamwema Shein , katika siku ya wanawake hafla iliyofanyika hoteli ya Bwawani, Mweka hazina wa Zanzibalicious Women Group, Shekha Hilal alisema hali hiyo ni changamoto kubwa na sasa kunatafutwa namna ya kumfikia mwanamke huyu ambaye ameshagota katika jamii yetu.

“Mama Shein asilimia hii ni kubwa saana, na sisi kama wanawake ambao tayari tumejaaliwa elimu na tunajitambua, ikiwa ni pamoja na tayari tumepiga hatua kimaendeleo katika nyanja mbalimbali, tumeguswa sana sana na suala hili.” Alisema Shekha.

Zanzibalicious ni umoja wa wanawake wanaoishi Zanzibar,ulioanzishwa mwaka 2011,na kusajiliwa rasmi mwaka 2013, ikiambatana na uzinduzi uliofanyika tarehe 28 Machi 2014.


Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mwanamwema Shein akiwasili kwenye sherehe ya siku ya Wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicous Women Group mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel.

Mweka hazina huyo alisema kwamba wanajiuliza maswali mengi kama mwanamke huyo elimu ya kujikwamua imemfikia au kama kuna jitihada zozote za kumfikishia elimu hiyo.

“Je hili ni jukumu la serikali peke yake? Au sisi tunatakiwa tujumuike na serikali? mheshimiwa mgeni rasmi tumeona ya kwamba tuungane pamoja na serikali katika kutekeleza suala hili.” Alisema Shekha akielezea nia ya taasisi hiyo ya kuondoa umaskini miongoni mwa wanawake nchini Zanzibar.

Alisema taasisi yao inajipanga kutoa elimu za aina mbili ili awali kumuwezesha kujikimu kupitia ujasiriamali, kwa kumpatia elimu kwa vitendo,kwa mfano:-ushonaji,ufugaji na utengenezaji wa bidhaa mbali mbali na pili kumtoa katika hali ya upweke ili elimu atakayopata imfikishe kwenye mifuko mbali mbali pamoja na mfuko wa Rais Dk. Ali Mohammed Shein .

Alisema katika program hiyo wanatarajia baada ya miaka 2 wanawake 100 watakuwa wanajitegemea wenyewe na kuwa mabalozi katika kuelimisha wanawake wengine zaidi.


Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mwanamwema Shein akisoma hotuba wakati wa sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicous Women Group na kufanyika ndani ukumbi wa Salama, Bwawani hoteli mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akifuatiwa na Mwenyekiti mstaafu wa Zanzibalicious Women Group, Bi. Ummukulthum Ansel.

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...