Mwenyekiti wa kikao cha kikosi kazi cha ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo mwaka 1982, Eng. Awariywa Nnko akiendesha kikao hicho leo katika ukumbi wa IREBUCO Iringa mjini. TCCIA kwa kushirikiana na BEST-Dialogue inatekeleza mradi wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo namba 20 ya mwaka 1982. Mradi huu unahusisha sekta ya umma na binafsi pamoja na vyombo vya habari katika mikoa ya Iringa na Njombe.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...




No comments:
Post a Comment