Tuesday, 18 November 2014

Mzee huyu anasema kifo kimemsahau "Death has forgotten me"



My grandchildren are dead there for years. Somehow forgot me death "

Mahashta Mûrasi is an Indian who claims to be born in 1835. It is not only the oldest man in the world but also the man who lived the longest since the history of mankind (according to the Guinness World Records ).

MAGAZETI LEO JUMATATU





MAKABIDHIANO...!


Mkuu wa Mkoa wa Iringa aliyemaliza muda wake Dkt. Christine Ishengoma (kulia) akikabidhi madaraka na mamlaka kwa Mkuu wa Mkoa mpya wa Iringa Amina Juma Masenza hivi karibuni.

20TH OF JANUARY 2015 SET AS POLLING DAY IN PRESIDENTIAL BY-ELECTION



Acting President Guy Scott has announced January 20, 2015 as the day on which Zambian's will cast their ballot to elect President Micheal Sata's successor.

GUY SCOTT SAYS HE IS NOT PREPARED TO BE PART OF A NON-DEMOCRATIC PROCESS





ACTING President Guy Scott says the Patriotic Front is exploring democratic means of adopting its candidate for the presidential election.

ZAIDI ya walinzi 60 wa Kampuni ya Kiwango Security Guards Ltd wagoma tena...!

Katibu Mkuu wa TUPSE, Edison Kivelege akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake leo. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

Baadhi wa walinzi wakiwa mabegi ofisini kwa TUPSE


ZAIDI ya walinzi 60 wa Kampuni ya Kiwango Security Guards Ltd kanda ya Iringa kwa mara nyingine wamegoma kuendelea na kazi ya kulinda minara ya Vodacom/Tigo wakidai mishahara ya miezi mitatu.

Monday, 17 November 2014

KINANA ATEMBELEA JIMBO LA MCHINGA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Mchinga Ndugu Said Mtanda wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika Kitomanga  Mkwajuni jimboni hapo wilaya ya Lindi vijijini.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa jimbo la Mchinga waliojitokeza kumpokea.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum wa mapokezi kutoka kikundi cha uhamasishaji cha CCM Mchinga mara baada ya kuwasili Kitomanga Mkwajuni jimbo la Mchinga.
 Katibu Mkuu wa CCM akishiriki ujenzi wa ghala la kijiji ambalo litatumika kuhifadhia chakula kwa wakazi wa Kitomanga Mkwajuni

CHADEMA yafunika Mang'ula kwa mkutano wa kihistoria




Na Mohamedi Mtoi
Mwenyekiti Taifa amefanya mikutano mitano kwenye majimbo matatu ya Ulanga Magharibi, Ulanga Mashariki na Kilombero.

MAGAZETI LEO JUMANNE






GIRAFFES NOW TOP POACHER HIT LIST



THE national symbol, giraffe, is increasingly becoming an endangered species as poachers have now turned their merciless rifles on the tall spotted mammal.

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...