Tuesday, 11 August 2015

WAANDISHI WA HABARI KANDA YA MASHARIKI (EASTERN ZONE) MOROGORO WAPIGWA MSASA KUHUSU UCHAGUZI 2015



Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Iringa, Dodoma, Pwani na wenyeji Morogoro akiendelea na warsha ya namna ya kuripoti uchaguzi 2015 iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na shiriki la BBC kupitia mradi wake wa Media Action inayofanyika mjini Morogoro. Katika semina hiyo waandishi wa habari wamepata mafunzo kuhusu mambo muhimu katika uchaguzi pamoja na vikwazo katika uchaguzi wa kidemokrasia. (Picha na Friday Simbaya)

MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI

Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidi https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.

Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.

There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack.

We have taken measures to lighten the effects of this as much as we can. Unfortunately it is something that we don't have much control over, but we will do all in our power to get the blog back to full functionality.

Imetolewa na Operation Manager wa Modewjiblog, Zainul Mzige. 

Monday, 10 August 2015

WILAYANI MUFINDI KUTEKELEZA MRADI WA VIAZI LISHE






Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi  mkoani Iringa ni miongoni mwa  wilaya saba nchini, zilizochaguliwa na shirika la kimataifa lianaloshughulikia mazao ya viazi (CIP)  kutekeleza mradi  wa uzalishaji wa viazi lishe vyenye asilimia kubwa ya vitamini “A” ukilinganisha na  aina nyingine ya vyakula kama Mboga, Matunda na Mizizi.

Kauli hiyo imetolewa Jana na Ofisa habari na Mawasiliano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi. Ndimmyake Mwakapiso, wakati akizungumza na Nipashe  ofisini kwake.

YALIYOJIRI LEO DAR WAKATI LOWASSA ANACHUKUA FOMU NEC

MWENYEKITI WA CCM ARUSHA ATIMKIA CHADEMA



Aliyekuwa Kigogo wa Chama cha Mapinduzi ambaye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Mh Onesmo Nangole na Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha, Isack Joseph wamejiuzulu nafasi zao zote na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).


Wakizungumza mara baada ya kutua Upinzani vigogo hao wamemtaka Katibu Mkuu wa CCM, Kinana kuacha mara moja siasa za matusi za kuwaita Makapi wanachama ambao wamekuwa wakijiunga na vyama vya upinzani.

MAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na John Banda wa Pamoja Blog.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Bi. Lilian Simon mmoja ya wakina mama walionyonyesha watoto wao kwa kufuata maelekezo ya wataalamu na kuwezesha watoto wao kuwa na afya bora na kukua vizuri. 

Kikundi cha ngoma za asili ya kigogo cha zepisa Hombolo kikitumbuiza wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.

Vijana wa bendi ya muziki ya Winners ya Mjini Dodoma wakionesha ufundi wa kusakata muziki wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.

TAZAMA VIDEO MPYA YA FRED SWAGG FT BARAKA DA PRINCE - "KIKOMO"


IMG-20150721-WA0084




Sunday, 9 August 2015

MESSAGE FROM MS IRINA BOKOVA, DIRECTOR-GENERAL OF UNESCO, ON THE OCCASION OF INTERNATIONAL DAY OF THE WORLD’S INDIGENOUS PEOPLES



Director-General of UNESCO, Ms Irina Bokova.

International Day of the World’s Indigenous Peoples is the perfect opportunity to emphasize indigenous peoples’ vital contribution to the implementation of sustainable solutions for tackling development challenges, from the management of natural resources to the fight against climate change.

Promoting the cultures, the languages and the knowledge of indigenous peoples is an essential part of UNESCO’s action. We know that respecting knowledge systems and local languages – including those of indigenous peoples – is one of the conditions for successful inclusive, equitable school systems, in which everyone can learn and show their potential. It is central to achieving the implementation of the quality education for all (EFA) goals and is fully integrated into the declaration adopted at the World Education Forum held in May 2015, in Incheon, Republic of Korea. The declaration advocates inclusive and equitable, quality education and life-long learning opportunities for all by 2030. 

We must better transmit and promote indigenous peoples’ cultural diversity and scientific knowledge, which are forces for renewal and innovation for the whole world. UNESCO is thus working to have culture fully recognized as an enabler and a driver of inclusive and sustainable development. The cultural diversity of indigenous peoples, be it artistic traditions, music, craftsmanship or contemporary art, represents an infinite source of dignity, identity and cohesion, whose full potential we are far from having unleashed. 

Saturday, 8 August 2015

Waliojitoa Chadema wapeta ACT Wazalendo


Mwanahamisi Muyinga


Iringa. Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka kidedea kwenye kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Makada hao waliibuka washindi kwenye uchaguzi uliofanyika juzi Chuki Abwao akishinda jimbo la Iringa mjini na Mwanahamisi Jimbo la Kalenga.

Makada hao sasa wanasubiri vikao vya juu vya chama ili kuidininisha kuwania ubunge na ikiwa vikao hivyo vitabiri Chuki atapambana na Mbunge wa Iringa Mjini anayemaliza muda wake Mchungaji Peter Msigwa, Mgombea ubunge kupitia CCM anayesubiri vikao vya juu vya chama hicho Frederick Mwakalebela na wagombei wa vyama vingine ikiwa watajitokeza.

TOP JOBS THIS WEEK

PEOPLE POWER TANZANIA



TINDWA MEDICAL AND HEALTH SERVICES



JHPIEGO TANZANIA



MWANZA URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY (MWAUWASA)



THE ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY (EWURA)



UTRACK AFRICA LIMITED



THE SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COMMUNITY (SADC)



PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT



VOLUNTARY SERVICE OVERSEAS (VSO) TANZANIA



Kwa nafasi nyingi zaidi za ajira, tafadhali tembelea




Instagram: Brightermondaytz

au tuandikie info@brightermonday.co.tz

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...