Monday, 2 November 2015
MBUNGE MTEULE JIMBO LA MANONGA AWASHUKURU WANANCHI


Mbunge mteule katika Jimbo la Manonga wilaya ya Igunga mkoani Tabora , Seif Khamis Gulamali (CCM) akiwashukuru wananchi wa Kata ya Ndebezi katika jimbo hilo kwa kumpa kura za kishindo, madiwani na Dkt. John Magufuli aliyekuwa anawania kiti cha urais.


Wananchi wa Kata ya Ntobo wakishangilia kwa furaha mara baada ya Mbunge mteule katika Jimbo la Manonga wilaya ya Igunga mkoani Tabora , Seif Khamis Gulamali (CCM) alipowasili eneo hilo kwa kutoa shukrani kwa wananchi hao kwa kumchagua katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.

Akizungumza na wakazi wa Kata ya Choma, Mbunge mteule katika Jimbo la Manonga wilaya ya Igunga mkoani Tabora , Seif Khamis Gulamali (CCM) alisema ushindi wa kura 31,485 sawa na asilimia 67. 65 aliopewa na wana Manonga dhidi ya Ally Nguzo wa Chadema aliyepata kura 14,420 sawa na asilimia 30.96. Amesema atahakikisha anawapa wananchi hao ushirikiano, usimamizi na utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazowakalibi.“

Mke wa Mbunge Mteule Bi Sarah Abdallah akitoa shukrani kwa wananchi wa kata ya Choma kwa kazi nzuri waliyoifanya.

Mbunge mteule katika Jimbo la Manonga wilaya ya Igunga mkoani Tabora , Seif Khamis Gulamali (CCM) akiwapungi amkono pamoj a na kuwashukuru wananchi wa kata ya Mwashiku kwa kuonesha upendo wa dhati baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo ilo

Hakika ilikuwa ni siku ya furaha kwa wakazi wa jimbo la Manonga
Watahiniwa 15,818 mkoani Iringa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari leo

Picha/Maktaba
Kaimu afisa elimu mkoa wa Iringa, Euzebio Mtavangu amesema kuwa jumla ya watahiniwa 15,818 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari mwaka huu.
Mgawanyo wa watahiniwa hao katika halmashauri ni halmashauri ya Manispaa (4,785), halmashauri ya wilaya ya Iringa (3,368), halmashauri ya wilaya ya Kilolo (2,784) na halmashauri ya wilaya ya Mufindi (4,881).
Akiongelea matarajio ya ufaulu katika mkoa, Mtavangu alisema kuwa mkoa unatarajia kufanya vizuri na kupindukia matarajio ya BRN ya 80%.
Alisema kuwa matarajio hayo yanatokana na mkoa kuwa uliboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia.
Sababu nyingine alizitaja kuwa ni wanafunzi wa masomo ya sayansi kufanya majaribio halisi baada ya kuwa na maabara za kutosha na kufanya ufaulu kwa masomo ya sayansi kuwa mzuri.
Aidha, wingi wa walimu wenye shahada umeongeza chachu ya mafanikio katika sekta ya elimu mkoani Iringa.
Mkoa wa Iringa umekamilisha maandalizi ya mtihani wa kumaliza kidato cha nne mwaka 2015 na mitihani yote imefikishwa vituoni.
Kauli hiyo ilitolewa na kaimu afisa elimu mkoa wa Iringa, Mwalimu Euzebio Mtavangu alipokuwa akiongelea maandalizi ya mitihani ya kumaliza kidato cha nne kwa mkoa wa Iringa ulionza leo nchini kote ofisini kwake.
Mwalimu Mtavangu alisema kuwa mkoa wa Iringa una jumla ya vituo 196 vya kufanyia mtihani huo.
Alivitaja vituo hivyo kwa kila halmashauri kuwa ni halmashauri ya Manispaa ya Iringa (44), halmashauri ya wilaya ya Iringa (33), halmashauri ya wilaya ya Kilolo (49), halmashauri ya wilaya ya Mufindi (70) na mitihani yote imefikishwa katika vituo husika.
Akiongelea idadi ya wasimamizi, alisema kuwa mkoa unao jumla ya wasimamizi 527.
Alisema kuwa kwa mujibu wa muongozo wa mitihani hiyo msimamizi mmoja anatakiwa kusimamia wastani wa watahiniwa 40.
Aliongeza kuwa wasimamizi hao miongoni mwao ni walimu kutoka katika shule za mkoa wa Iringa.
Utaratibu wa kuwapata wasimamizi hao ni pamoja na kuwafanyia upekuzi wa kina na kula kiapo cha kutunza siri kwa mujibu wa sheria Namba 3 ya mwaka 1970.
Alisema kuwa semina kwa wasimamizi wa mitihni hiyo zilianza kutolewa kwa halmashauri zote kuanzia tarehe 28-30/10/2015.
(Na Friday Simbaya, Iringa)
SHINDANO KUBWA LA KUSAKA VIPAJI VYA 'FREESTYLE FOOTBALL CHAMPIONSHIP'
Tanzania Freestyle football championship (TFFC2016) ambalo ni shindano la kutafuta/kusaka vipaji vya kuchezea mpira yaani freestyle soccer/Freestyle Football wengi hupenda kuita hivyo ambalo linatarajiwa kuendeshwa kama vile mashindano mengine ya kutafuta vipaji kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya TV show.
Waweza wasiliana nao kupitia anuani hapa +255 654 955 825/ +255 655 049 647
Sunday, 1 November 2015
Daniel Kilonge anasimulia alivyochomwa Kisu..
Mwandishi na mpiga picha wa Mjengwablog/Kwanza Jamii, Daniel Kilonge (mwenye mzula) anasimulia alivyochomwa kisua kwa wana familia ya Wanahabari wa Iringa jana asubuhi. Mwandishi huyo alichomwa kisu kichwani na mtu asiyejulikana ndani ya Daladala. Kulikuwa na mabishano ya kisiasa hapo tarehe 27 Oktoba mwaka huu. Daniel alitulia kwenye kiti akizungumza na abiria mwenzake. Alikuwa njiani akitokea Tumaini kuja katikati ya mji kutekeleza majukumu ya kazi. Maggid
Turkish president's rule hangs in balance as country goes to polls
A supporter of Turkey’s main opposition Republican People’s Party (CHP) at a rally in Istanbul on Saturday. Photograph: Ozan Kose/AFP/Getty Images
Kareem Shaheen and Safak Timur in Istanbul
Kareem Shaheen and Safak Timur in Istanbul
Turkish voters are going to the polls in parliamentary elections that could end more than a decade of single-party rule by the Justice and Development party (AKP).
Voting stations around the country opened on Sunday morning in the snap elections, which were called by the Turkish president, Recep Tayyip ErdoÄŸan, after negotiations to form a coalition with the opposition following an inconclusive vote in June fell apart.

Turkey election 2015: are you voting?
Now the divisive figure of ErdoÄŸan, accused by critics of authoritarianism, repression of his opponents and suppression of press freedom, is front and centre in polls that could put an end to what his critics say are ambitions to consolidate the power of his office and transform Turkey from a parliamentary system into a president-led republic.
“We will all have to show respect to the national will,” said ErdoÄŸan on Sunday after voting in Istanbul. “Turkey has made great strides in democracy and this stride will be strengthened with today’s election.”
A starkly different message came from Selahattin Demirtas, the leader of the pro-Kurdish Peoples’ Democratic Party (HDP), which garnered 13% of the vote in June’s election and robbed the AKP of its majority for the first time since 2002.
“Unfortunately, it was a difficult and troubled period of election campaigning,” he said, after casting his vote. “Lives were lost. My wish is that a great hope for peace and calm emerges (from the election).”
The elections in Turkey are taking place against a backdrop of instability and renewed violence. Last month, twin suicide bombings targeted a peace rally in the capital, Ankara, killing dozens of people in the worst ever terrorist attack on Turkish soil. Another attack in the town of Suruç near the Syrian border killed 32 people, mostly Kurdish activists.

Diyarbakir prepares to vote: 'There is no joy in the runup to these elections'
The Turkish government has also cracked down on the outlawed Kurdistan Workers’ party (PKK) in recent months, suspending a peace process that aimed to pacify the long-running insurgency. Critics also say the government’s policy on Syria, which involves backing rebels fighting to overthrow the president, Bashar al-Assad, has contributed to instability.
Turkey hosts more than 2 million Syrian refugees, many of whom go on to attempt dangerous passages across the Mediterranean seeking refuge in Europe.

Facebook Twitter Pinterest AKP supporters wave flags in front of and billboards of ErdoÄŸan and DavutoÄŸlu. Photograph: Umit Bektas/Reuters
Parliamentary elections in June saw the ascendance of the HDP. Though it had won the largest share of the vote, the AKP had to try to form a coalition with its opponents. Talks foundered and ErdoÄŸan – who opponents say had hoped the success at the polls would aid his ambition of rewriting the constitution to establish himself as an all-powerful executive president – called fresh elections.
Opponents fear that if the AKP gains additional seats in the new election it will encourage ErdoÄŸan to further stall government formation and even to call for a third round of elections in an attempt to secure enough dominance over the legislature to form another single-party government.
The AKP’s strategy appears to be aimed at luring more nationalist heartland voters to its camp, a prospect bolstered by its crackdown on Kurdish militancy. Recent polls appear to show the only party likely to sustain significant losses in the elections is the nationalist MHP.

Turkey election: ruling party loses majority as pro-Kurdish HDP gains seats
“The AKP only care about their seats,” said Hasan Demir, a 26-year-old textile worker who was handing out leaflets at an HDP election tent in Istanbul. “I’m voting HDP because they are acting on behalf of everyone, not just one group of people, religion or language.”
Still, pro-AKP voters said they would back the party because they felt it was the only one capable of maintaining stability, and because its infrastructure and social development projects had lifted them out of hardship and poverty.
“I remember my mother standing for so long in lines to get medicine,” said Kadir Ulu, a 20-year-old university student when asked why he was going to vote for the AKP.
Matokeo ya mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015
Katibu Mtendaji wa NECTA Dk. Charles Msonde
Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA kimetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba iliyofanyika September 9 na 10 mwaka huu ambapo mikoa ya kanda ya ziwa imefanya vizuri ikilinganishwa na mikoa mingine nchini.
Akitangaza matokeo hayo jijini DSM, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk. Charles Msonde amesema jumla ya watahiniwa 51,8034 kati ya 76,3602 wamefaulu sawa na asilimia 67.84, ambapo kati yao wasichana wamefaulu kwa asilimia 64.60 na wavulana asilimia 71.58 huku kiwango hicho cha kikiongezeka kwa asilimia 10.85 ukilinganisha na ufaulu wa mwaka jana wa asilimia 56.99.
Dk. Monde amezitaja shule zilifanikiwa kuingia kumi bora kitaifa mwaka huu ni pamoja na shule ya Waja Springs ya Geita iliyoshika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Enyamai ya Mara na Twibhoki pia ya Mara katika nafasi ya tatu huku zikifuatiwa na shule nyingine 7 zote kutoka mikoa ya kanda ya ziwa. Shule ya Mwashigini ya mkoani shinyanga imetajwa kushika nafasi ya mwisho.
Katika hatua nyingine Dk. Msonde amezungumzia pia kukamilika kwa maandalizi ya mitihani ya kidato cha nne ambayo itafanyika kuanzia nov mbili hadi 27 mwaka huu na kuwataka wasimamizi pamoja na watahiniwa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu ili kuepuka kufutiwa mitihani hiyo.
Kwa kuwa mitihani hiyo inafanyika tanzania bara na visiwani Dk Msonde amewatoa hofu watahiniwa wa Zanzibar ambako kuna hofu ya uvunjifu wa amani kutokana na masuala ya kisiasa kuwa mitihani hiyo itaendelea kama kawaida kwani suala la ulinzi limeimarishwa.
http://www.wavuti.com/2015/10/matokeo-ya-mtihani-wa-kitaifa-wa-darasa.html
Saturday, 31 October 2015
RC: TADB should increase production and productivity to smallholder farmers...
By Friday Simbaya, Iringa
Despite Iringa region leading in food production of about 900,000 tons per year in the country but still the region leads in malnutrition problem in children under the age of five.
Iringa Regional Commissioner (RC), Amina Masenza said the region produces food in abundance that is used to feed other regions but 2010 figures showed that about 42% of children aged less than five years in the country are stunting.
RC made the statement yesterday when she was opening the meeting of the leaders of groups small-scale farmers and agricultural stakeholders organized by Tanzania Agricultural Development Bank (TADB).
She said malnutrition is attributed to a woman who is the main producer but being involved in another role of production and thus less time to raising a child.
She said the purpose of the establishment of TADB is to increase production and productivity by ensuring smallholder farmers are given loans, inputs, better irrigation machines, value adding crops and construction of warehouses in order to expand this important sector in the country.
“The crop losses reached between 35% and 40% stemmed from unfavorable storage so there is a need to empower farmers gets harvesting machines and storage facilities for their produce,” said Masenza.
On his part, Director of Credit and Business Management, Robert Pascal said the aim of TADB is to enable Tanzanians to be secured with food security through helping to affordable credit, technical expertise, marketing and conservation in order to increase productivity.
Pascal said bank will enable farmers by providing lower interest rates and affordable loans between 8% and 12% and long-term between two and 15 years compared to loans offered by commercial banks.
He said he opted to start with the Iringa region as a pilot region because there are groups of farmers that are working with many stakeholders who have provided expertise where they began with 89 groups containing 21,526 farmers.
Salimu Kipama a small scale farmers from Kilolo district said one of the challenges facing farmers is the lack of a guaranteed market for their crops so the government should also look at ways to expand market because many crop products go to worst due to lack of reliable markets.
And also Salimu Saidi a rice farmer from Pawaga in Iringa district said many commercial banks have condition which is complex and an interest rate of more than 16% which is a burden on farmers.
He said that coming of TADB in the region will be savior to small scale farmers who have been crying higher interest rates charge by commercial banks.
President Jakaya Kikwete recently launched the Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) with a pledge that the government will raise Sh800 billion capital requirement in eight years.
The President challenged farmers to improve their productivity through loans from TADB.
He said development bank will work with financial institutions, including commercial and community banks, savings and credit co-operative societies and a variety of other groups to extend loans to farmers.
“I am glad to hear that the bank will use other institutions to extend their services to potential clients,” President Kikwete added.
“I advise the management to come up with friendly criteria so that your loans are affordable to farmers, unlike loans from some commercial banks.”
According to the president, TADB should concentrate on supporting farmers financially as TIB Development Bank focuses on loans for investors in the ago-processing industry.
The bank will focus on produce best suited to small and medium outfits. These include maize, rice, fruit, sesame, sugarcane indigenous chicken, horticulture, livestock, fish farming and bee keeping.
Despite Iringa region leading in food production of about 900,000 tons per year in the country but still the region leads in malnutrition problem in children under the age of five.
Iringa Regional Commissioner (RC), Amina Masenza said the region produces food in abundance that is used to feed other regions but 2010 figures showed that about 42% of children aged less than five years in the country are stunting.
RC made the statement yesterday when she was opening the meeting of the leaders of groups small-scale farmers and agricultural stakeholders organized by Tanzania Agricultural Development Bank (TADB).
She said malnutrition is attributed to a woman who is the main producer but being involved in another role of production and thus less time to raising a child.
She said the purpose of the establishment of TADB is to increase production and productivity by ensuring smallholder farmers are given loans, inputs, better irrigation machines, value adding crops and construction of warehouses in order to expand this important sector in the country.
“The crop losses reached between 35% and 40% stemmed from unfavorable storage so there is a need to empower farmers gets harvesting machines and storage facilities for their produce,” said Masenza.
On his part, Director of Credit and Business Management, Robert Pascal said the aim of TADB is to enable Tanzanians to be secured with food security through helping to affordable credit, technical expertise, marketing and conservation in order to increase productivity.
Pascal said bank will enable farmers by providing lower interest rates and affordable loans between 8% and 12% and long-term between two and 15 years compared to loans offered by commercial banks.
He said he opted to start with the Iringa region as a pilot region because there are groups of farmers that are working with many stakeholders who have provided expertise where they began with 89 groups containing 21,526 farmers.
Salimu Kipama a small scale farmers from Kilolo district said one of the challenges facing farmers is the lack of a guaranteed market for their crops so the government should also look at ways to expand market because many crop products go to worst due to lack of reliable markets.
And also Salimu Saidi a rice farmer from Pawaga in Iringa district said many commercial banks have condition which is complex and an interest rate of more than 16% which is a burden on farmers.
He said that coming of TADB in the region will be savior to small scale farmers who have been crying higher interest rates charge by commercial banks.
President Jakaya Kikwete recently launched the Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) with a pledge that the government will raise Sh800 billion capital requirement in eight years.
The President challenged farmers to improve their productivity through loans from TADB.
He said development bank will work with financial institutions, including commercial and community banks, savings and credit co-operative societies and a variety of other groups to extend loans to farmers.
“I am glad to hear that the bank will use other institutions to extend their services to potential clients,” President Kikwete added.
“I advise the management to come up with friendly criteria so that your loans are affordable to farmers, unlike loans from some commercial banks.”
According to the president, TADB should concentrate on supporting farmers financially as TIB Development Bank focuses on loans for investors in the ago-processing industry.
The bank will focus on produce best suited to small and medium outfits. These include maize, rice, fruit, sesame, sugarcane indigenous chicken, horticulture, livestock, fish farming and bee keeping.
ASKARI WA KIKOSI CHA UPELELEZI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI SHINGONI
Askari wa kikosi maalumu cha kupambana na ujambazi mkoa wa Iringa Pascal Shila (30) pichani amejiua kwa kujipiga risasi kichwani kutokana na msongo wa mawazo.
Askari mwenye namba G.343D/C Pashal James Shila wa Ofisi ya RCO-Kikosi cha Anti Robbery amejiua kwa kujipiga risasi na mwili wake kukutwa kwenye jengo bovu la ghorofa la mjerumani lilipo nyuma ya kituo cha polisi.
Akizungumza na SIMBAYABLOG wakati wa kuaga mwili wa marehemu kwenye kituo kikuu cha polisi Manispaa ya Iringa, Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhani Mungi alisema tukio hilo lilitokea jana kati ya saa tisa na kumi jioni.
Kamanda Mungi alisema askari huyo kutoka ofisi ya upelelezi mkoa wa Iringa (RCO) alichukua silaha aina ya ya SMG saa sita mchana kutoka kwenye ghala ya kuhifadhia silaha kwa madai kuwa yeye na wenzake wanakwenda kufanya kazi ya dharura huko Ifunda.
Alisema baada ya hapo hakuonekana na saa saba mkewe alikwenda kwenye ofisi ya RCO kupeleka ujumbe alioandikiwa na mumewe kuwa amtunzie watoto kwa kuwa anawapenda sana.
Kamanda Mungi alisema kufuatia ujumbe huo askari wenzake walianza kumtafuta na baadaye kukuta mwili wake ukiwa kwenye jengo lililopo nyumba ya kituo kikuu cha polisi akiwa amejipiga risasi shingoni karibu na kidevuni na kabla hap alimtumia mkwewe meseji aliomba amtunzie watoto wake kwani ana wapenda sana.
Alisema jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi ili kuweza kubaini
chanzo cha tukio hilo na kuwa huenda limesababishwa na msongo wa mawazo aliokuwa nao marehemu.
Alisema tukio hilo limewaumiza askari sote kwa kuwa alikuwa anachukia uhalifu kwa dhati na kuwa mwili wake utasafirishwa kesho kwenda nyumbani kwao wilayani Kyela katika kijiji cha Ilolo kwa ajili ya mazishi.
Aidha alisema matukio kama hayo yanawakuta askari kwa kuwa nao ni sehemu ya jamii na kuwa jeshi la polisi hutoa mafunzo ya jinsi ya kupambana na msongo wa mawazo kwa askari wao.
Hata hivyo habari ambazo hazijathibitishwa na kamanda wa jeshi la
polisi mkoa wa Iringa zinaeleza kuwa chanzo cha msongo wa mawazo.
Uchunguzi awali unaonyesha kuwa kulikuwepo na ugomvi baina yake na mkewe usiku jana.
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...