Mwandishi na mpiga picha wa Mjengwablog/Kwanza Jamii, Daniel Kilonge (mwenye mzula) anasimulia alivyochomwa kisua kwa wana familia ya Wanahabari wa Iringa jana asubuhi. Mwandishi huyo alichomwa kisu kichwani na mtu asiyejulikana ndani ya Daladala. Kulikuwa na mabishano ya kisiasa hapo tarehe 27 Oktoba mwaka huu. Daniel alitulia kwenye kiti akizungumza na abiria mwenzake. Alikuwa njiani akitokea Tumaini kuja katikati ya mji kutekeleza majukumu ya kazi. Maggid
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...

No comments:
Post a Comment