Sunday, 5 September 2010

HII SI MBAGALA MBALI NI KIHESA

Watoto wadogo wanaokota vitu mbalimabali katika jala maeneo ya Kihesa Manispaa ya Iringa--jambo ambalo ni hatari kiafya kwao. Taka nyingi mijini uwachwa bila kuzolewa na wahusika katika maeneo mbalimbali kutokana ukosefu pengine ya vifaa.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...