Mgombea Ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini kupitia tiketi ya CCM Monica Ngenzi Mbega akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi wananchi wa Mtaa wa Idunda Kata ya Mtwivilla Mjini Iringa leo. Mbega aliwaomba wananchi wakupigia kura ifikapo Oktoba 31, 2010 iliaweze kukamilisha kazi zilizobaki katika miaka mitano ijayo.
Sehemu ya umati uliyofika katika mkutano wa kampeni za uchaguzi wa Mama Mbega katika Mtaa wa Idunda Manispaa ya Iringa.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment