Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Sunday, 3 October 2010
IPC WAFANYA MKUTANO WA MWAKA
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi Mkoa wa Iringa (IPC) Bw. Kenneth Simbaya (katikati), ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) akiongea na wanachama hicho leo katika Mkutano wa Mwaka wa kawaida chama uliyofanyika Ukumbi wa Manispaa Iringa. Kulia kwake ni Mweka Hazina wa IPC Bw. Selemani Bokhe na kusho kwake ni Katibu Mtendaji wa IPC Bw. Frank Leonard.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment