Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Wednesday, 6 October 2010
JAMANI, JAMANI AJALI HIZI ZITATUMALIZA
Basi la kampuni ya Hood lenye nambari za usajili T249 ARU likiwa limepinduka katika barabara kuu ya Iringa -Mbeya (Tanzam) eneo la Viwengi Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, basi hilo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya na katika ajali hiyo watu zaidi ya 20 wamejeruhiwa japo hakuna hata mmoja aliyepoteza maisha katika ajali hiyo. Thanks God it has not killed anyone but sorry for injured persons, still we need to control this kind of accidents in future by put up stiff punishment to drivers who wreckless and overspeeding.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment