Saturday, 6 November 2010

AFYA




Afya ni mtaji, fundi rangi alikutwa akikwangua rangi katika kuta za Jengo la Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF-AKIBA HOUSE) Mkoani Iringa linalofanyiwa ukarabati, huku vumbi likimtimkia bila kifaa cha kuzuwia vumbi bila kujali madhara yanayoweza kumpata. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...