Mwandishi wa kitabu kidogo cha Uchawi na Majini Nini? Padre Geogory Mwageni OSB ana kwa ana na mmliki wa blog hii akipitia baadhi ya vitabu alivyoandika leo katika Duka la Vitabu la Peramiho, Songea mkoani Ruvuma. Kitabu hicho kilichapishwa na Benedictine Publication Ndanda-Peramiho. Pata nakala yako sasa iliujue kwa undani masuala ya uchawi na majini kama kunahusiano au la.
"Nimezaliwa Ubena mnamo mwaka 1922 wakati jamaa zangu wote walipokuwa wapagani. Nilijifunza dini ya kikristo, shuleni tu. Mwaka 1935 niliingia seminari ndogo ya Peramiho, Ungoni. Baadaye nikaishi Kigonsera, tena Peramiho, mwishowe nikaingia utawa Liganga. Tangu kupata upadre mwaka 1954 hadi kuingia utawa nalihudumia katika Umatengo. Tangu 1960 naishi Hanga katika nchi ya Undendeule katika Wilaya ya Namtumbo Mkoa wa Ruvuma"
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...


2 comments:
Very good.
asante
Post a Comment