Monday, 6 June 2011

SHEREHE ZA KUWEKWA WAKFU NA KUSIMIKA ASKOFU- MBINGA

Kutoka kushoto kwenda kulia ni Mmliki wa Blog hii Friday Simbaya, Anold na Mpigapicha wa Rais Fred Maro muda mfupi kabla ya kuanza kwa Misa Takatifu ya kuwekwa na kusimika Askofu Mpya wa Jimbo la Mbinga, John Ndimbo katika Kanisa la Mt. kiliani.

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maaskofu baada ya kumalizika kwa Misa ya kusimika Askofu wa Mbinga. Kulia kwake ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kardinali Polycarp Pengo na kushoto kwake ni Askofu Mteule John Chrysostom Ndimbo.

 Rais Kikwete  wanne kutoka kulia akiwa Kanisa la Mt. Kiliani la Mbinga Jumapili wakati ya sherehe ya kuwekwa na kusimikwa Askofu wa Mbinga.


 
 Waamini mbalimbali wakifuatilia Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu na kusimika Askofu wa Mbinga katika Kanisa la Mt. Kiliani lililojaa pomoli hadi waamini wengine walikaa nje wakifuatilia misa kupitia Tv.



Waamini wakifuatilia Misa katika viwanja vya Emmanuel Square nje ya Kanisa kutokana na kukosa nafasi ndani na kukaa kwa nje wakifuatilia misa hiyo kwa kupitia Runinga mbili zenye vioo vikubwa.

No comments:

Tanzania Marks International Day Of The Girl Child With A Call To Protect And Empower Girls

Iringa. Tanzania has joined other nations around the world in marking the climax of the International Day of the Girl Child , commemorated...