Monday, 25 July 2011

WAKAZI WA LUNDUSI

Wakazi wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea, Mkoani Ruvuma wakisaidiana Bi. Clementina Mlowe (mwenye Khanga nyekundi na kilemba)kupukuchua na kujaza mahindi kwenye mifuko. Mkazi huyo wa Lundusi amebahatika kuvuna gunia 80 za mahindi.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...