Friday, 1 March 2013

MAJIMAJI SPORTS CLUB YAPIGWA JEKI



Waandishi wa habari wakifanya mahojiano na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Peramiho, Dkt. Venance Mushi katika viunga vya hospitali hiyo jana muda mfupi baada ya hafla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni mbili kwa Timu ya Majimaji kuiwezesha timu hiyo kufika malengo yake.






No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...