Monday, 13 October 2014

KINANA AKISIKILIZA KWA MAKINI SWALI KUTOKA KWA MWANANCHI


Mkazi wa Iringa mjini Kaspar Mtotomwema (kulia) akimuuliza swali Katibu Mkuu wa CCM), Abdulrahman Kinana kuhusu tofauti ya katiba inayopendekezwa na rasimu ya Warioba kuhusiana na suala la wananchi kuwawajibisha  wabunge wakati mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika katika viwanja vya Mwembetogwa juzi. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...