REFA pamoja na wasaidizi wake wakisindikizwa na polisi baada ya vurugu kutokea baada ya mechi kumalizika ambapo Lipuli Fc aliibuka ushindi wa bao moja lililofungwa na mshambuaji machachali Vedatus Josephat (Balloteli) katika dakika nne kipindi cha kwanza katika uwanja wa samora jana. Lipuli kwa sasa inashika nafasi ya pili katika ligi hiyo ikiongzwa na Majimaji ya Songea na Team Friends Rangers wanashika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi 21.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...

No comments:
Post a Comment