Sunday, 22 March 2015

MANYONI MVUA HAIJANYESHA KWA MUDA MREFU MPAKA MAZOA YAMEKAUKA...!


Wakazi wa babati wilayani manyoni wakiwa katika pilikapili leo kama walivyokutwa stendi ya basi. 



Administrator wa blog ya SIMBAYA (FRIDAY SIMBAYA) akiwa Manyoni akichagua vinyago. NAMSHUKURU MUNGU NIMEFIKA SALA ARUSHA KUUNGANA NA KIKOSI KAZI.



Manyoni Lodge abiria tukipata chakula cha mchana baada ya safiri ndefu ya kutoka iringa kwenda Arusha. 

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...