Saturday, 25 July 2015

Maadhimisho ya Kumbukumbu ya siku ya Mashujaa Mkoani Iringa

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Iringa Mhe. Amina J Masenza (kuume) na Mshauri wa Mgambo Mkoa Meja Akili katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya siku ya Mashujaa Mkoani Iringa.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...