Saturday, 5 September 2015

MWIGULU NCHEMBA MGENI RASMI UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA IRINGA MJINI


Kesho, CCM JIMBO LA IRINGA MJINI kutafanyika uzinduzi Rasmi wa kuanza rasmi kwa kampeni za ubunge na madiwani utakaofanyika katika VIWANJA VYA MWEMBETOGWA .
Mgombea Ubunge kwa ticket ya CCM ni FREDRICK MWAKALEBELA atambulishwa rasmi kupeperusha bendera ya chama na mgeni rasmi MWIGULU NCHEMBA.

Maandalizi ya uzinduzi huo yameshakamilika na yatawekwa nakshi na wasanii mbalimbali kama......JB, ANT EZEKIEL, IRENE UWOYA,WEMA SEPETU na pia YAMOTO BAND, TWANGA PEPETA nk watakuwepo kesho kwenye uzinduzi huo.

Pia viongozi mbalimbali wa chama watakuwepo na wageni waalikwa kama LIVINGSTONE LUDINDE, MWIGULU NCHEMBA nk

Bila kuwasahau wenyeji wote hasa wale waliokuwapo kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea ubunge kwa ticket ya CCM wakiongozwa na MADAM JESCA, MADENGE, KIBIKI, WEEKEND nk.

Sherehe hizi za uzinduzi zitaanza rasmi saa 6 kamili mchana hapa hapa Iringa mjin ktk viwanja vya mwembetogwa. KARIBUNI SANA. (Hapa kazi tu)

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...