Monday, 21 September 2015

RC AFUNGUA KIKAO CHA KUJADILI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU


Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kushoto) akifungua kikao baina ya Viongozi wa vyama vya Siasa, viongozi wa Dini, Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na wazee wa Iringa. Hoja kujadili Amani kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais mwaka 2015. Kulia ni Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Wilfred Myuyu

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...