
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kushoto) akifungua kikao baina ya Viongozi wa vyama vya Siasa, viongozi wa Dini, Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na wazee wa Iringa. Hoja kujadili Amani kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais mwaka 2015. Kulia ni Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Wilfred Myuyu
No comments:
Post a Comment