Sunday, 18 October 2015

TUNAANGALIA MAJINA YETU...!


Wakazi wa mtaa wa Isoka B ambao hata hivyo hawakuhamika majina yao katika Kata ya Mwangata, Jimbo la Iringa mjini wakiangalia majina yao katika orodha ya majina ya wapiga kura katika kituo hicho cha kupigia kura jioni hii.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...