Tuesday, 26 April 2016

MA DC WATATUA MGOGORO WA MPAKA KWA VIJIJI VYA ILAMBILORE NA ILORE




Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Selemani Mzee na Mkuu wa wilaya ya Iringa DC Richard Kasesela walishiriki katika kutatua mgogoro wa mpaka kati ya vijiji vya Ilambillore (kilichoko Iringa DC) kijiji cha Ilore kilichoko Kilolo. siku 3 zilizo pita wananchi walitaka kupambana kugombania mipka ambapo walifyeka msitu ambapo ulizua tafrani.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...