

Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Selemani Mzee na Mkuu wa wilaya ya Iringa DC Richard Kasesela walishiriki katika kutatua mgogoro wa mpaka kati ya vijiji vya Ilambillore (kilichoko Iringa DC) kijiji cha Ilore kilichoko Kilolo. siku 3 zilizo pita wananchi walitaka kupambana kugombania mipka ambapo walifyeka msitu ambapo ulizua tafrani.
No comments:
Post a Comment