Sunday, 8 May 2016

MATUMIZI BORA YA ARDHI YA KIJIJI NDIO TIBA YA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI

Wajumbe wa PLUP na VLUMC wakichukua jira za ardhi kwa kutumia GPS

Picha ya pamoja ya wajumbe wa kamati ya ardhi (VLUMC), halmashauri ya kijiji cha Mbweleli (VC) na  timu ya PLUP.


Mwakilishi kutoka shirika la WWF Ebrania Mlimbila akitoa neno la shukrani kwa wajumbe kamati ya ardhi (VLUMC) na wale wa halmashauri ya cha Mbweleli, kata ya Migoli, tarafa ya Ismani baada kumalizika kwa mafunzo ya matumizi bora ya ardhi. Kushoto ni mwezeshahaji (PLUP) Godfry Mwanga ambaye pia ni rasimu ramani (Cartographer) kutoka Halmamshauri ya Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa.



Washiriki wa Mafunzo ya Matumizi bora ya ardhi ya kijiji (VLUP) ambao wanaunda kamati ya usimamizi wa ardhi (VLUMC) na halmashauri ya kijiji cha Mbweleli kata ya Migoli , tarafa ya Ismani wilayani Iringa, mkoani Iringa wakichangamsha Miili yao wakati wa mafunzo hayo ya kuwajengea uwezo. Mafunzo hayo ya mpango wa matumizi bora ya ardhi ya kijiji wa miaka kumi (2016-2026) yamefadhiliwa na shirika la WWF kupitia program ya maji Ruaha (RWP) kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya Iringa.


No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...