Sunday, 12 June 2016

JUKWAA LA KATIBA WAANZA KUUFUFUA MCHAKATO WA KATIBA MPYA



Baada ya kimya cha muda mrefu kuhusu sakata la Kupatikana kwa katiba Mpya Hatimaye jukwaa la katiba Tanzania wametangaza Rasmi kurejesha mchakato huo upya ili kuamsha uwezekano wa Serikali kuanza tena mchakato huo ambao uneonekana kusahaulika na wahusika.


Mwenyekiti wa Jukwaa la katia Tanzania DEUS KIBAMBA amesema kuwa wamemua kusaidia kuanzisha ambapo wameanza kampeni mpya inayolenga kufufua mchakato wa katiba mpya baada ya kugundua mchakato huo ulijisimamisha wenyewe na sasa unasubiriwa uanze tena wenyewe

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...