Wednesday, 8 June 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI HUU


Rais John Magufuli, 



RAIS John Magufuli leo amemteua Jaji Ferdinand Wambali kuwa Jaji Kiongozi, .


Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mchana huu na Gerson Msigwa, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu imeeleza “Jaji Wambali anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Shaaban Ally Lila aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa.”


Kabla ya uteuzi huo, Jaji Wambali alikuwa Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto, mkoani Tanga.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...